Google PlusRSS FeedEmail

UJUMBE WA SEKRETARIETI WAINGIA TABORA USIKU HUU WAKIWA NJIANI KUELEKEA KIGOMA


Katibu Mkuu wa CCM, akisalimiana na wananchi wa Itigi.




Katibu wa NEC ,Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimiana na wananchi wa  Saranda, tarafa ya Kilimatinde, Wananchi wamefurahi kuona viongozi wao wakiwa nao pamoja na kusafiri nao pamoja.

Ujumbe wa Sekretarieti ukisalimiana na Uongozi wa Tabora mara baada ya kuwasili hapo wakiwa njiani kuelekea Kigoma kwa kutumia usafiri wa Treni ya Reli ya kati.

This entry was posted in

Leave a Reply