Google PlusRSS FeedEmail

MATEMBEZI YA MSHIKAMAO KUADHIMISHA MIAKA 37 YA CCM YAFANA JIJINI MBEYA

 Mweneyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwasili eneo la Soweto kuongoza  matembezi ya mshikamano ya miaka 37 ya CCM, yaliyofanyika leo asubuhi mjini Mbeya.
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akitangaza kuwasili kwa Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete eneo la Soweto
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akipatiwa maelezo na Nape namna matembezi yatakavyoanza
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwapungiamikono wananchi kabla ya matembezi kuanza
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete akiwapungia mkono wananchi matembezi yalipoanza eneo la Soweto. Wengine kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM, Kinana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mbeya Godfrey Zambi
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza matembezi hayo huku akiwa na watoto ambao aliwateua kutembea nao baada ya kuwaona eneo la Soweto
 "Haya Simameni Hapa tutembee wote" Rais Jakaya Kikwete akiwaambia watoto hao kabla ya kuanza matembezi
 "Vipi Mmechoka", Rais Kikwete akiwauliza watoto, lakini wakasema hawajachoka ambapo walitembe hadi mwisho umbali wa kilometa tano. Picha na Bashir Nkoromo. Kwa picha nyingine 28 za tukio hili> BOFYA HAPA

This entry was posted in

Leave a Reply