Google PlusRSS FeedEmail

ZIARA YA MZEE MANGULA CHINA

 Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula akisalimiana na Kada wa CCM, Suleiman Serera ambaye ni miongoni mwa makada walimlaki Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Beijing, China, juzi
 Msafara wa Mzee Mangula kutoka Uwanja wa Ndege wa Beijing
 Mzee Mangula akiwa na Balozi wa Tanzania Nchini China Abdulrahman Shimbo
Makamu Mangula akizungumza na Mwenyeji wake aliyempokea baada ya kuwasili nchini China, Ndg. Wang Heming ambaye ni Naibu Mkurugenzi Mkuu wa kitengo cha Mambo ya Afrika katika Idara ya Kimataifa ya Kamati Kuu ya CPC.
 Makamu Mangula akizungumza na baadhi ya makada wa CCM wa Tawi la China waliomtembelea katika hoteli ya Diaoyutai alipofikia na Ujumbe wake.
 Makamu Mangula akizungumza na baadhi ya makada wa CCM wa Tawi la China waliomtembelea katika hoteli ya Diaoyutai alipofikia na Ujumbe wake.
 Makamu Mangula akizungumza na baadhi ya makada wa CCM wa Tawi la China waliomtembelea katika hoteli ya Diaoyutai alipofikia na Ujumbe wake.
 Makamu Mangula akizungumza na baadhi ya makada wa CCM wa Tawi la China waliomtembelea katika hoteli ya Diaoyutai alipofikia na Ujumbe wake.
Baadhi ya watanzania waishio nchini wakiwa katika picha ya pamoja na makamu wa ccm, bara MH.Philip Mangula
baada ya kikao cha kujadili mambo kadhaa ya mstakabali wa nchi yao katika ziara fupi aliyofanya mwanzoni wa wiki hii. 
MH.Mangula akibadilishana mawazo wadau Joel Kayombo na Shauku Kihombo ambao wapo nchini humo kwa masomo  katika moja ya vyuo vinavyopatikana mjini Beijing China

This entry was posted in

Leave a Reply