Google PlusRSS FeedEmail

LIVE: KUTOKA JANGWANI:

Hakika ni mkutano uliobeba sura ya kitaifa, watu wa rika na jinsia zote walikuwepo, wakiwa na sura zilizojaa bashasha wakiwa wanasikiliza hotuba kutoka kwa Viongozi wa Chama juu ya Mustakabali wa Maisha ya Watanzania.
Hakika Chama Cha Mapinduzi kina wenyewe na wenyewe ndio hawa.
NGUVU YA CHAMA NI WANACHAMA WAKE.


Umati wa wananchi wa Jiji la Dar es salaam waliojitokeza katika Mkutano wa Hadhara uliofanya katika viwanja vya Jangwani, leo Jumamosi ya Tarehe 09-06-2012.
NGUVU YA CHAMA NI WANACHAMA WAKE.
watu mbalimbali waliofika kuhudhuria.
Shangwe kwa wanaCCM maeneo ya jangwani hivi sasa. Hakika ni Furaha tupu.

Watu wakiwa wanaelekea katika viwanja vya jangwani tayari kwenda kuwasikia viongozi wao wakiwaambia mustakabali wa maisha yao;

Furaha yatawala viwanja vya jangwani, watu wa rika zote wapo eneo hili wakiwa tayari kupata majibu kutoka katika Hotuba za viongozi wao.




This entry was posted in

One Response so far.

  1. KIYUNGI says:

    Tutimize tuliyowaambia hawa maana ndio njia pekee ya kuwafanya waendelee na imani yao kwa chama.VIVA CCM

Leave a Reply