Google PlusRSS FeedEmail

MWANDISHI WILLY EDWARD OGUNDE AAGWA LEO

Katibu w Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na uenezi CCM, Nape Nnauye, Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba na Mwenyekiti wa Kampuni za IPP, Reginald Mengi wakiwa kwenye shughuli hiyo ya kuaga mwili wa marehemu Ogunde.
Muhidin Issa Michuzi almaarufu Ankal ni miongoni mwa waandishi wakongwe waliohudhuria.
Mwenyekiti wa kampuni za IPP Reginald Mengi akitoa rambi rambi zake.
 Mwekiti wa CUF, Ibrahim Lipumba akitoa rambi rambi kwa niaba ya chama hicho.
Nape akitoa pole kwa familia ya marehemu.
.

This entry was posted in

Leave a Reply