Google PlusRSS FeedEmail

VIJANA ELIMU YA JUU IRINGA, WAFAGILIA MAGEUZI NDANI YA CHAMA

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa , Itikadi na Uenezi,Ndugu Nape Nnauye akizungumza na vijana katika mahafali ya Makada wa CCM kutoka katika vyuo vikuu mkoa wa Iringa, ambapo alikabidhi vyeti kwa wahitimu 230 na kadi za CCM kwa wanachama wapya 148.

This entry was posted in

Leave a Reply