Google PlusRSS FeedEmail

ZIARA YA NAPE KILOLO MKOANI IRINGA‏

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akimpa msaada wa fedha Mwalimu Beatrice Luoga, wakati alipozungumza na walimu wa mjini Mafinga, wilayani Mufindi mkoani Iringa, juzi.  Nape alimpa msaada huo kwa ajili ya kushughulikia matibabu ya maradhi yanayomsumbua mwalimu huyo, na alizungumza na walimu hao wa shule za sekondari na za msingi ili kujua changamoto zinazowakabili na jinsi CCM iliyounda serikali inavyoweza kuyatatua.
Wananchi wa Kilolo wakimshangilia Nape baada ya kuzungumza nao kwenye Ofisi ya CCM, Kilolo.

This entry was posted in

Leave a Reply