Yosefa Cosmas akitumbukiza kura yake kwenye kisanduku kwenye kituo cha kupigia kura cha Mangalale B, wakati wa uchaguzi huo

Zaveri Alphonce (70) akijikongoja kwenda kupiga kura kwenye kituo cha Kalenga A katika uchaguzi huo
Wazee wenye matatizo maalum wakisubiri kuitwa kupiga kura kwenye kituo cha Mangalale A, jimbo la Kalenga, wakati wa uchaguzi huo
Watu kwenye kituo cha kupigia kura cha Mangalale A, wakati wa uchaguzi huo
Mgombea wa CCM Godfrey Mgimwa akizungumza na waandishi baada ya kukagua vituo kadhaa vya kupigia kura, wakati wa uchaguzi huo. Picha zote Bashir Nkoromo wa theNkoromo Blog