Google PlusRSS FeedEmail

RAIS KIKWETE ATEUA KAMISHNA MPYA TRA

Rais Jakaya Kikwete amemteua Rished Bade kuwa Kamishna mpya wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Harry Kitilya aliyestaafu kazi akiwa katika nafasi hiyo, mwaka jana, Ikulu imesema leo

This entry was posted in

Leave a Reply