![]() |
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein, akikagua Gwaride wakati wa Sherehe za Mapinduzi, zilizofanyika leo kwenye Uwanja wa Amani mjini Zanzibar. |
![]() |
Maandamano yakipita mbele ya Jukwaa Kuu |
![]() |
Maandamano ya waendesha pikipiki marufu kama vipando yakipita mbele ya jukwaa |
![]() |
Makomandoo wa JWTZ wakionyesha ukakamavu wao mbele ya jukwaa kuu |