| Baadhi ya abiria walio okolewa kutoka kwenye ajali ya Meli ya Seagul |
| Baadhi ya majeuhi wakiwa kwenye hospitali ya Mnazi Mmoja. |
| Raia wa Kigeni walio okolewa kutoka kwenye meli iliyozama ya Seagul |
| Wananchi kwa maelfu wakishuhudia kazi za uokoaji wa abiria wa meli iliyozama. |







