Rais Kikwete akiwa na viongozi wa Chadema, Mbowe, Dk. Slaa na Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa Tume ya Kuratibu Maoni ya Katiba Mpya, Waziri Mkuu Mstaafu, Joseph Warioba, na Waziri Mkuu mstaafu ambaye ni Mjumbe wa Tume hiyo, Dk. Salim Ahmed Salim, wakiwasili kwenye viwanja vya Karimjee.
Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akimsalimia Jaji Mkuu Mstaafu Barnabas Samatta
Mwenyekiti wa IPP, Reginard Mengi akisalimiana na Profesa Philemon Sarungi kwenye msiba huo
Dk. Slaa akimkaribisha Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye alipowasili kwenye msiba huo kwenye viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam
Kisha akamkumbatia
Rais Kikwete, Mbowe na Makamu wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal wakipokea mwili wa Bob ulipowasili Karimjee.
Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akitoa salama za CCM
Baadhi ya wanasheria wakiwa kwenye shughuli hiyo ya kuuaga mwili wa Bob Makani ambaye pia alikuwa mwanasheria wa siku nyingi; Picha zote na Bashir Nkoromo
Undugu na utu wetu wetu hauwezi kutenganishwa na siasa..